WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Jumanne, 12 Julai 2016

Uingereza

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza, Theresa May, kesho atakabidhiwa wadhifa wa Waziri Mkuu wa Uingereza. Hapo jana, mgombea mwenzake wa chama cha Conservative, Andrea Leadsom, alitangaza kujitoa kwenye kinyang'anyiro.