WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Jumanne, 12 Julai 2016

Burundi

Mazungumzo ya amani ya Burundi yanayoendelea mjini Arusha nchini Tanzania yako hatarini kuvunjika baada ya vyama vitano vilivyoshiriki katika uchaguzi wa mwaka jana nchini humo kuwasilisha barua kwa kiongozi wa mazungumzo hayo Rais mstaafu wa Tanzania  Benjamini Mkapa kushinikiza kuondolewa kwenye mazungumzo hayo wajumbe watatu  kwa madai kuwa watu hao walishiriki katika kusababisha machafuko nchini humo vinginevyo vyama hivyo  vitajiondoa kwenye mazungumzo hayo.