WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Alhamisi, 7 Aprili 2016

Dada wa Mh Tundu Lissu afariki dunia

Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Mhe. Christina Lissu Mughwai (ambaye ni dada wa Tundu Lissu) amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam.

Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Cancer tangu mwaka jana.
Bwana ametoa na bwana ametwaa, Jina la bwana LIHIMIDIWE