WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Ijumaa, 13 Oktoba 2017

MIJI MIKUU YA ATHIRIKA KIBIASHARA.

Muungano wa upinzani nchini Kenya umekuwa ukifanya maandamano katika maeneo kadhaa nchini kushinikiza mageuzi katika tume ya uchaguzi IEBC, kabla ya marudio ya uchaguzi wa urais ambao umepangwa kufanyika tarehe 26 mwezi huu wa oktoba

Kaimu waziri wa usalama Fred Matiang'i amesema hatua hiyo imetokana na ukosefu wa nidhamu wakati wa maandamano hayo hali ambayo amesema imeendelea kuathiri biasahara katika miji hiyo.

David Wafula anaarifu.