WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Jumamosi, 18 Novemba 2017

Kenya

Kiasi ya watu watano wameuawa baada ya kutokea makabiliano kati ya polisi wa Kenya na wafuasi wa kiongozi wa upinzani, Raila Odinga. Polisi walifyatua risasi za moto na mabomu ya kutoa machozi kuzuia msafara wa Odinga uliokuwa ukitoka uwanja wa ndege. Makundi ya kutetea haki za binaadamu yamewalaani polisi, kwa kuwa na upendeleo katika mzozo wa kisiasa na kikiuka katiba kwa kuwazuia wafuasi wa upinzani kukusanyika.