WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Alhamisi, 15 Desemba 2016

Amka na Kintv

Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, ameitisha mazungumzo ya kitaifa yatakayomaliza vita vya vya miaka mitatu vya wenyewe kwa wenyewe.

Waasi nchini Syria wametangaza mpango wa kuondoka katika maeneo waliyokuwa wakiyadhibiti mashariki mwa Aleppo.

Mwanzilishi wa mtandao wa kijamii, Jamii Forums, hajafikishwa mahakamani kwa kile kinachoelezwa bado uchunguzi unaendelea.

Maonyesho ya kwanza ya biashara kwa bidhaa zinazotengenezwa Rwanda yafanyika ili kuhamasisha raia wa nchi hiyo kupenda vya kwao..