WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Jumanne, 14 Juni 2016

Aliyo yasema Waziri Mkuu mstaafu John Malecela kwenye uongozi wa Rais John Pombe Magufuli

Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela amesema Serikali ya Rais John Magufuli imeanza vizuri mikakati yake na imejengwa katika misingi ya kila kiongozi kuwa na wajibu wa kumhudumia Mtanzania.

Pamoja na hilo, amesema si sahihi kumfananisha na  mtu mwingine kama aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Sokoine wala Rais wa Kwanza, Mwalimu Julius Nyerere.

Akizungumza katika mahojiano maalumu yaliyofanyika nyumbani kwake mjini Dodoma, Malecela alisema, “Rais Magufuli katika mambo anayofanya, tusimlinganishe na mtu mwingine, hatutamtendea haki