WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Ijumaa, 6 Septemba 2019

MUGABE AFARIKI DUNIA

Rais mstaafu wa Zimbabwe amefariki dunia nchini Singapore alipokuwa akipatiwa matibabu, amefariki akiwa na miaka 95.
Rais MUGABE ailikuwa rais wa Zimbabwe tangu mwaka 1987 mpaka 2017 alipotolewa madarakani na jeshi la nchi hiyo.