WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Jumanne, 21 Novemba 2017

Hatimae kajiudhuru

ROBERT MUGABE AMEJIUZULU KAMA RAIS WA ZIMBABWE.
Spika wa bunge la Zimbabwe ametangaza kuwa rais Robert Mugabe amejiuzulu . Kumekuwa na shangwe miongoni mwa wabunge kufuatia tangazo hilo. harakati za kumuondoa madarakani rais huyo kupitia bunge kumesitishwa.