WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Jumamosi, 7 Oktoba 2017

MABADILIKO YAFANYIKA TENA

Rais Magufuli afanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri, Juliana Shonza aula
MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI

Mawaziri 21zimeongezeka Nafasi 2

Manaibu 21 zimeongezeka 5

Utumishi - Mkuchika
Nishati - Kalemani - Mgalo
Madini - Mfuruki - Nyongo

Ujenzi - Mbarawa - Nditie na Kwandikwa

Fedha - Mpango - Kijaji

Katiba  na Sheria- Prof. Kabudi

Habari - mwakyembe - Honza

Ndani - nchemba - Masauni

Maliasili - Kigwangala - Kasunda

Ardhi - Lukuvi - Mabula

Kilimo - Tizeba - Mwanjelwa

Mifugo/uvuvi - Mpina - Urega

Nje - mahiga - Kolimba

Ulinzi - Mwinyi

Maji - Kamwele - Awoshio
Viwanda/biashara - Mwijage - Manyanya

Elimu - Ndalichako - Ollenasha

Afya - Ummy Mwalimu - Faustine

Tamisemi - Jafo - Serukamba na Kakunda

Mazingira - January Makamba - Lugola

Vijana - Mwamgama - Mavunde na Kipupa

Katibu bunge - Kagaigai

Source TBC 1.