WE ARE UNDER CONSTRUCTION........COMING BACK SOON
Most Popular

Jumanne, 21 Juni 2016

Congo : Jean-Pierre Bemba afungwa kifungo cha miaka 18 na ICC

Alie kuwa mtu humiwa wa uhalifu dhidi ya binadamu kutoka DRC Congo Jean-Pierre Bemba amehukumiwa kifungo cha miaka 18 jela na mahakama  ya kimataifa ya uhalifu (ICC) kwa makosa ya uhalifu wa kivita na dhuluma za ubakaji